SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA KILELE CHA MIAKA 51 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR MJINI UNGUJA LEO

 Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akiwapungia Mkono wananchi wakati alipowasili katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja katika kilele cha Sherehe za miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika leo.
 Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akikagua gwaride la vikosi vya ulinzi na usalama leo wakati wa  Sherehe za miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar akifuatana na Paredi Kamanda Luteni kanali Mohamed Khamis Adam  katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akitoa hutuba yake wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya sherehe za miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar zilizofanyika leo katikauwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja.
 Wananchi mbali mbali waliohudhuria katika sherehe za kilele cha miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar wakimasikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake leo katika kilele hicho Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja.
 Wafanyakazi wa Ofisi ya rais Tawala za Mikoa na Idara maalum za SMZ wakipita mbele ya jukwaa kwa maandamano wakati wa sherehe za Kuadhimisha miaka 51 ya mapinduzi ya Zanzinar akiwa mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein.
 Rais Jakaya Kikwete, akisalimiana na baadhi ya viongozi wakati akiwasili uwanjani hapo.
 Rais Jakaya Kikwete, akisalimiana na Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamini Mkapa
 Rais Jakaya Kikwete, akisalimiana na Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif.
 Rais Jakaya Kikwete, akisalimiana na Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi.
 Rais Jakaya Kikwete, akiteta jambo na Mkuu wa majeshi....
 Rais Jakaya Kikwete, akisalimiana na Rais wa Zanzibar Dkt. Shein wakati akiwasili uwanjani hapo na baada ya kukagua gwaride la heshima.
Rais Jakaya Kikwete akifurahia jambo na Rais wa Zanzibar, Dkt. Shein.
Share on Google Plus

About Mahmoud Bin Zubeiry

Mahmoud Zubeiry Works at BIN ZUBEIRY "BIN ZUBEIRY" Tangaza nasi hapa.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment