MUONEKANO WA JUU BARABARA YA DODOMA-BABATI YENYE UREFU 251KM

Muonekano wa juu wa sehemu ya barabara ya Dodoma - Babati yenye urefu wa Kilometa 251, inayopokea fedha za matengenezo kutoka Mfuko wa Barabara ili kuhakikisha inakuwa katika hali nzuri wakati wote.

Picha na RFB

Share on Google Plus

About emmanuel mbatilo

Mahmoud Zubeiry Works at BIN ZUBEIRY "BIN ZUBEIRY" Tangaza nasi hapa.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment