JENGO LISILOKALIWA NA WATU LAPOROMOKA HUKO ZANZIBAR


Askari wa zima moto wakiwa eneo la tukioa baada ya jengo moja kuporomoka mjini Zanzibar jana asubuhi huko maeneo ya Shangani karibu na Kijiwe cha 'Jaws Corner', Jengo hilo lililokuwa wazi bila kukaliwa na watu kwa kipindi kirefu cha takriban miaka 10, halikusababisha kifo wala majeruhi katika ajali hiyo, na chanzo cha kuanguka kwake bado hakijaweza kujulikana kwa haraka. 
Share on Google Plus

About Mahmoud Bin Zubeiry

Mahmoud Zubeiry Works at BIN ZUBEIRY "BIN ZUBEIRY" Tangaza nasi hapa.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment