SHEIKH MKUU WA TANZANIA MUFTI SHAABAN BIN SIMBA AFARIKI DUNIA

SHEIKH mkuu wa Tanzania (Mufti) Shaaban Simba amefariki muda mfupi uliopita jijini Dar es Salaam. Habari za uhakika kutoka ndani ya Baraza Kuu la Tanzania (BAKWATA) zimeifahamisha Saluti5 kuwa Mufti amefariki katika hospitali ya TMJ baada ya kuzidiwa na tatizo la mapafu. INNA LILLAHI WA INNA ILAYHI RAAJI'OON
Share on Google Plus

About Mahmoud Bin Zubeiry

Mahmoud Zubeiry Works at BIN ZUBEIRY "BIN ZUBEIRY" Tangaza nasi hapa.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment